Msaada: Lotion ama mafuta ya kutumia kwa uso wenye mafuta mengi

Msaada: Lotion ama mafuta ya kutumia kwa uso wenye mafuta mengi

tzfanatic

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
626
Reaction score
382
Salamu wanabodi

Ndugu zangu naomba mnisaidie, uso wangu unamafuta mengi sana so nilikua nauliza nifanyeje ili niweze kuyapunguza ama loshen au mafuta ama kitu chochote chenye uwezo wa kuweza kung'arisha bila kuleta madhara kwa ngozi yangu. Maana chunusi haziishi usoni mwangu.

Asanteni.
 
Mimi uso unamafuta pia huwa nasafisha na face wash ya oriflame then natumia cleanser ya vovi basi sipaki mafuta na uso unakua mzuri tuuu ila kama upo maeneo yabaridi unaeza kuta unapauka tafuta lotion zimeandikwa hydrating eg dove instant hydration au Neutrogena
 
Salamu wanabodi

Ndugu zangu naomba mnisaidie, uso wangu unamafuta mengi sana so nilikua nauliza nifanyeje ili niweze kuyapunguza ama loshen au mafuta ama kitu chochote chenye uwezo wa kuweza kung'arisha bila kuleta madhara kwa ngozi yangu. Maana chunusi haziishi usoni mwangu.

Asanteni.
Zoa zoa
 
Ni kweli tumia cleanser, na osha uso mara kwa mara na sabuni isiyo na mafuta kama Dove ni nzuri sana
 
Demu wangu Ana ngozi kama yako hutumia sabuni ya kalambora na lotion ya qeen Elizabeth
 
Salamu wanabodi

Ndugu zangu naomba mnisaidie, uso wangu unamafuta mengi sana so nilikua nauliza nifanyeje ili niweze kuyapunguza ama loshen au mafuta ama kitu chochote chenye uwezo wa kuweza kung'arisha bila kuleta madhara kwa ngozi yangu. Maana chunusi haziishi usoni mwangu.

Asanteni.

tumia "seven miracle ya lemon" pia zipo za aloevera na karoti. haya mafuta ni mazuri sana pia hayachubui. nilikuwa balaa sasa nipo mbali sana chunusi zinakimbia kabisaaaaa
 
tumia "seven miracle ya lemon" pia zipo za aloevera na karoti. haya mafuta ni mazuri sana pia hayachubui. nilikuwa balaa sasa nipo mbali sana chunusi zinakimbia kabisaaaaa
bei yake mkuu
 
Wale wote ambao nyuso zao zina mafuta au wanatokwa na chunusi basi usihangaike kupoteza pesa nyingi tumia hii bei yake ni 1,500/= yani buku jello huu si utani jaribu utakuja kuleta majibu inaitwa siri ya lemon
IMG_20161030_114255.jpg
 
Ukishajua ngozi yako ni ya mafuta nunua vipodozi vya oil free, brand nyingi za vipodozi wanazo hizo kama fashion fair, Mary Kay, Flori Roberts, Bobby Brown, Mac na vinginevyo.
 
Hivi unajua kama kila kukicha serikali inatafuta mafuta?
 
Back
Top Bottom