Msaada: Machimbo ya jezi, mipira na vifaa vya michezo Kariakoo

Msaada: Machimbo ya jezi, mipira na vifaa vya michezo Kariakoo

Scolari

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2017
Posts
1,721
Reaction score
2,383
Natumaini ni kwema wakuu.....

Naomba kujua machimbo ambapo naweza kua napata jezi mipira na viatu vya michezo pamoja na vifaa vingine hasa vya mpira wa miguu.

Natamani kufahamu kule wanakonunua wanaouza rejereja Kariakoo manake naamini wananunua humohumo ila ndio sipajui kwa sababu kila nikienda kununua ninaambiwa ngoja kidogo tukuletee then wanarudi na mzigo na imekua tabia ya maduka mengi niliyotembelea.

Kwa ajuae tafadhali sana naomba anijuze.
 
Natumaini ni kwema wakuu.....

Naomba kujua machimbo ambapo naweza kua napata jezi mipira na viatu vya michezo pamoja na vifaa vingine hasa vya mpira wa miguu

Natamani kufahamu kule wanakonunua wanaouza rejereja kariakoo manake naamini wananunua humohumo ila ndio sipajui kwa sababu kila nikienda kununua ninaambiwa ngoja kidogo tukuletee then wanarudi na mzigo na imekua tavia ya maduka mengi niliyotembelea

Kwa ajuae tafadhali sana naomba anijuze

Wanakuuzia jezi shilingi ngapi mfano timu za nje?
 
Kuna sehemu wanauza 17000 kwingine 22000
 
Back
Top Bottom