Msaada: Machimbo ya jezi, mipira na vifaa vya michezo Kariakoo

Scolari

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2017
Posts
1,721
Reaction score
2,383
Natumaini ni kwema wakuu.....

Naomba kujua machimbo ambapo naweza kua napata jezi mipira na viatu vya michezo pamoja na vifaa vingine hasa vya mpira wa miguu.

Natamani kufahamu kule wanakonunua wanaouza rejereja Kariakoo manake naamini wananunua humohumo ila ndio sipajui kwa sababu kila nikienda kununua ninaambiwa ngoja kidogo tukuletee then wanarudi na mzigo na imekua tabia ya maduka mengi niliyotembelea.

Kwa ajuae tafadhali sana naomba anijuze.
 

Wanakuuzia jezi shilingi ngapi mfano timu za nje?
 
Kuna sehemu wanauza 17000 kwingine 22000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…