princess J
Member
- Aug 20, 2013
- 94
- 15
Habari za jioni,
Naomba msaada wa dawa ya macho yanayo washa,nina vaa miwani takribani miaka 13.
Ivi karibuni macho yananiwasha sana na kutoa uchafu mweupe,nimetumia dawa za matone kutoka hospital lkn haikusaidia.
Mwenye kujua dawa ya macho yanayo washa tafathali.
Naomba msaada wa dawa ya macho yanayo washa,nina vaa miwani takribani miaka 13.
Ivi karibuni macho yananiwasha sana na kutoa uchafu mweupe,nimetumia dawa za matone kutoka hospital lkn haikusaidia.
Mwenye kujua dawa ya macho yanayo washa tafathali.