Aisee naomba unisaidie kama unamjua mfanyakazi yeyote wa CRDB basi naomba nisaidie kumuulza haya maswali.
1. Nikiwa nataka kufungua account mpya ya CRDB naweza kupata card siku hiyo hiyo?
2. Account yangu ya zamani sijaitumia kwa miaka miwili kwa kifupi haipo active lakini mwaka huu mwezi wa 8 inaishs muda. Je, nikitaka kuendelea na account yangu hiihii lakini kataka kuirenew kabla ya ku expire kwake, maana muda wake ukiisha nitakuwa sipo Tanzania.
1. Nikiwa nataka kufungua account mpya ya CRDB naweza kupata card siku hiyo hiyo?
2. Account yangu ya zamani sijaitumia kwa miaka miwili kwa kifupi haipo active lakini mwaka huu mwezi wa 8 inaishs muda. Je, nikitaka kuendelea na account yangu hiihii lakini kataka kuirenew kabla ya ku expire kwake, maana muda wake ukiisha nitakuwa sipo Tanzania.