wakuu nimekuwa nasumbuliwa na mafindo findo kwa takriban wiki je? ni dawa gani ambayo ni sahihi kwa ajili ya kunitibu yaishe kabsa msaada!!!!!!!!!!!!!1
Pole sana my dear. Hata mie huwa nasumbuliwa sana na mafindofindo a huwa natumia pen v tu na ninapona haraka. Pliz kanunue hiyo dawa ambapo ni dozi ya siku 5 na bei yake haizidi sh 3,000/=. Kila la kheri!
Pole sana my dear. Hata mie huwa nasumbuliwa sana na mafindofindo a huwa natumia pen v tu na ninapona haraka. Pliz kanunue hiyo dawa ambapo ni dozi ya siku 5 na bei yake haizidi sh 3,000/=. Kila la kheri!