Msaada: Mafua yananitesa jamani

Tobido

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2010
Posts
331
Reaction score
76
Habari wadau. Mwenzenu toka nizaliwe mafua yananipa shida sana hadi nmekua mtu mzma sasa naona ni kero. Naombeni ushauri ni dawa gani nitumie kutuliza au kuponya kabisa hii kitu coz inanikera yaani vumbi kidogo,harufu ya perfume,upepo,manyoya vinaniletea taabu. Naomba msaada wanajamvi.
 
Probably utakuwa na allergy(na vitu gani? Ni hivo ulivovitaja) bora pia ukame allergy ujue vyote ambavyo vinakuletea allergic reaction. Ukishajua uepukane navyo.
 
Probably utakuwa na allergy(na vitu gani? Ni hivo ulivovitaja) bora pia ukame allergy ujue vyote ambavyo vinakuletea allergic reaction. Ukishajua uepukane navyo.

Ofcoz vumbi na harufu kali mfano sabuni ya kuogea ndo vinanipa tabu kwa kweli.
 
Pole sana jaribu kuepuka vitu ulivyo na alegy navyo itakusaidia
 
Ila pia kuna dawa kwa ajili ya ku-suppress reaction ya mwili wako, so bora uende hospitali kama kuepuka baadhi ya vitu ni ngumu
 
Ila pia kuna dawa kwa ajili ya ku-suppress reaction ya mwili wako, so bora uende hospitali kama kuepuka baadhi ya vitu ni ngumu

Ahsante kwa ushauri. Nmechoka kwa kweli coz sometimes nashindwa kufanya kazi sababu ya mafua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…