Mkushi Mbishi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 332
- 549
Mkuu Kama hutojali ushirikiano nami kulifanya hili mteja katoa 15,000 mm utaniachia 5000 nipate bando..Ni inbox WhatsApp namba yako nitakapokwama uwe unanipa maelekezoUnahitaji custom DA file. Nenda Hovatek forum. DA files zote zipo. Kwenye kuload DA file nenda kwanza kwenye settings za SP flashtool na utoe option ya "Check LIB DA Match"
Kwani unataka kutoa FRP au kuflash simu?Mkuu Kama hutojali ushirikiano nami kulifanya hili mteja katoa 15,000 mm utaniachia 5000 nipate bando..Ni inbox WhatsApp namba yako nitakapokwama uwe unanipa maelekezo
Kwani unataka kutoa FRP au kuflash simu?
Usihangaike na mambo ya kuflash. Pitia hapo:Frp ndio nataka itoke
spUnatumia file gan kuflash iyo cm?
cheki pmUkishindwa kabisa tunaweza fanya remote services kuondoa hiyo frp dm kama bado.
ngoja nijaribu nioneUsihangaike na mambo ya kuflash. Pitia hapo: