Amoxlin
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 3,782
- 4,111
Habari ndugu ktk Jf.
Nna leseni ya udereva daraja "D" yenye muda wa mwaka na nusu.
Je, kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi naweza kuongeza daraja lingine baada ya muda gani?
Je, naweza kwenda daraja "C" bila kupitia daraja "E"?
Naomba ufafanuzi kwa wenye uelewa juu ya mambo haya.
Nna leseni ya udereva daraja "D" yenye muda wa mwaka na nusu.
Je, kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi naweza kuongeza daraja lingine baada ya muda gani?
Je, naweza kwenda daraja "C" bila kupitia daraja "E"?
Naomba ufafanuzi kwa wenye uelewa juu ya mambo haya.