carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
mmh!sio kwa jibu hiliHuyo alotoa dawa ya shahawa nahisi kakosea dawa ni kutafuna mavi yaliyo lala mda wa wiki mbili ila mavi yenyewe yawe malain kidogo kisha akinawa USO anawe mkojo wa jilani yako Kwisha matatizo
Nimehisi Mauzauza mkuu.Jamani nina mpenzi wangu anasumbuliwa na chunusi (sio nyingi but kwa sababu anazitumbua zinaharibu reception kwa kuacha madoa meusi)
Nahitaji mafuta/sabuni au kitu cha kutumia kitakachomsaidia uso wake urudi kuwa soft.But sihitaj cream au mkorogo wa aina yoyote! Yeye tayari ana weupe asili kwahiyo sihitaji ushaur wa vitaulo wala maji ya Ray.
Shahawa ni dawa kama huyo bint anapiga peke yake kama akichanganya shahawa hawezi kuwa softShahawa zako ni dawa.
akipata bio oil original itamsaidia sana, iwe original na mjini fake nyingi sana.Jamani nina mpenzi wangu anasumbuliwa na chunusi (sio nyingi but kwa sababu anazitumbua zinaharibu reception kwa kuacha madoa meusi)
Nahitaji mafuta/sabuni au kitu cha kutumia kitakachomsaidia uso wake urudi kuwa soft.But sihitaj cream au mkorogo wa aina yoyote! Yeye tayari ana weupe asili kwahiyo sihitaji ushaur wa vitaulo wala maji ya Ray.
Kuna lotion ya Haney and milk hutowa makovu ila ukiwa unatumia na scrub yake set ni 66000/- ni bonge la uremboMim naulizia mafuta yapi mazuri yanayoweza kutoa madoa madoa meusi kwenye mwili ambayo yalinitokea ukubwan niliumwa tete kuwanga ukubwan ni miaka mitano imeshapita ila baadhi ya madoa bado hayajapotea mwilin.
Kuna optimals hinatowa madowa na kukuacha mcharo ila kama chunusi zinamsumbua sana kuna pure skin utowa chunusi na madowa yote na kukausha mafuta usoni ila ukitumia set nzima ndo utajikubali mwenyeweJamani nina mpenzi wangu anasumbuliwa na chunusi (sio nyingi but kwa sababu anazitumbua zinaharibu reception kwa kuacha madoa meusi)
Nahitaji mafuta/sabuni au kitu cha kutumia kitakachomsaidia uso wake urudi kuwa soft.But sihitaj cream au mkorogo wa aina yoyote! Yeye tayari ana weupe asili kwahiyo sihitaji ushaur wa vitaulo wala maji ya Ray.
hivi ingekuwa wewe ndio ulikuwa unaomba ushauri ukashauriwa hivi ungejisikiaje busara ni nzuri tuwe na busaraHuyo alotoa dawa ya shahawa nahisi kakosea dawa ni kutafuna mavi yaliyo lala mda wa wiki mbili ila mavi yenyewe yawe malain kidogo kisha akinawa USO anawe mkojo wa jilani yako Kwisha matatizo
Asante mim nipo Arusha nitayapataje maana nayahitajKuna lotion ya Haney and milk hutowa makovu ila ukiwa unatumia na scrub yake set ni 66000/- ni bonge la urembo
Naomba nitafute kwenye namba yangu plz nimepoteza yakoAsante mim nipo Arusha nitayapataje maana nayahitaj
Mafuta ya nazi ndo mpango mzima ..Jamani nina mpenzi wangu anasumbuliwa na chunusi (sio nyingi but kwa sababu anazitumbua zinaharibu reception kwa kuacha madoa meusi)
Nahitaji mafuta/sabuni au kitu cha kutumia kitakachomsaidia uso wake urudi kuwa soft.But sihitaj cream au mkorogo wa aina yoyote! Yeye tayari ana weupe asili kwahiyo sihitaji ushaur wa vitaulo wala maji ya Ray.
Set bei ganiKuna optimals hinatowa madowa na kukuacha mcharo ila kama chunusi zinamsumbua sana kuna pure skin utowa chunusi na madowa yote na kukausha mafuta usoni ila ukitumia set nzima ndo utajikubali mwenyewe
0653482355
Nimetumia sana hamna jipyaPEARS, sabuni kiboko hii.... Balaa, oga maliza paka uso kisha lala usiku . asubi oga mpaka tena... Yani kwa ufupi hii sabuni ndio iwe mafuta yake ya uso... Utarudi hapa kuniambia majibu.. bei 3000 adi 45000 kwenye super markets.