Msaada mafuta ya kupikia/Alizeti Kwa jumla tokea Singida/popote

Msaada mafuta ya kupikia/Alizeti Kwa jumla tokea Singida/popote

emavalery

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
628
Reaction score
1,243

1615461983414.png

Hello JF Members,

Natumaini mnaendelea vizuri, naomba msaada kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji connections ya kupata mtu anayeweza niuzie mafuta ya jumla/alizeti au kuniunganisha pia, napatikana Dar.

Nitafurahi kwa mchango wenu kwangu, najua nitapata msaada.

PM ipo wazi,
 
Acha uvivu nenda mwenyewe ukayafate huko yanakopatikana
 
Nenda Kibaigwa, au Dodoma mjini au Gineri Singida bei nzuri ukiwa na madumu yako.

Hayo maeneo wanakamua so unanunua kwa bei ya kiwandani.
 
Nenda Kibaigwa, au Dodoma mjini au Gineri Singida bei nzuri ukiwa na madumu yako.

Hayo maeneo wanakamua so unanunua kwa bei ya kiwandani.
Samahani mkuu nilikuwa natamani sana kama utakuwa na ufahamu hata wa bei , ili tunaotaka kwenda huko tukajipanga vzr , mfano kama utaweza kutuambia lita 20 kwa sasa ni shingapi katika hayo maeneo.
 
Hata mimi pia nahitaji hiyo biashara.... Kama yanapatikana kwa bei nzuri kwa jumla basi naomba connection..... Nipo Moshi 0768494699
 
Samahani mkuu nilikuwa natamani sana kama utakuwa na ufahamu hata wa bei , ili tunaotaka kwenda huko tukajipanga vzr , mfano kama utaweza kutuambia lita 20 kwa sasa ni shingapi katika hayo maeneo.
Mkuu nimetoka huko mda kidogo siwezi jua bei ila hata ukienda Itigi pia wanauza bei nafuu
 
Nenda Kibaigwa, au Dodoma mjini au Gineri Singida bei nzuri ukiwa na madumu yako.

Hayo maeneo wanakamua so unanunua kwa bei ya kiwandani.
Kwa Sasa bei hata huku viwandani Singida sio rafiki imefikia hatua mafuta lita 5 ni 25 na tena yanatoka kwa Order.
 
View attachment 1722795

Hello JF Members,

Natumaini mnaendelea vizuri, naomba msaada kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji connections ya kupata mtu anayeweza niuzie mafuta ya jumla/alizeti au kuniunganisha pia, napatikana Dar.

Nitafurahi kwa mchango wenu kwangu, najua nitapata msaada.

PM ipo wazi,
Bei sio rafiki sana kwa sasa hata ukiwa na dumu tho unapata na wenyeji wengi wa hapa singida wanadai mafuta mazuri yanapatikana SHELUI tho hata hapa singida unapata mazuri baadhi ya viwanda ila ukijichanganya unauziwa mixer.
 
View attachment 1722795

Hello JF Members,

Natumaini mnaendelea vizuri, naomba msaada kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji connections ya kupata mtu anayeweza niuzie mafuta ya jumla/alizeti au kuniunganisha pia, napatikana Dar.

Nitafurahi kwa mchango wenu kwangu, najua nitapata msaada.

PM ipo wazi,
Mwezi wa tano naanza kukamua alizeti zangu, kama bado utakua upo interested tunaweza kufanya biashara though nipo mbeya
 
Bei sio rafiki sana kwa sasa hata ukiwa na dumu tho unapata na wenyeji wengi wa hapa singida wanadai mafuta mazuri yanapatikana SHELUI tho hata hapa singida unapata mazuri baadhi ya viwanda ila ukijichanganya unauziwa mixer.
Asante kwa hbr nzuri ndugu
 
View attachment 1722795

Hello JF Members,

Natumaini mnaendelea vizuri, naomba msaada kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji connections ya kupata mtu anayeweza niuzie mafuta ya jumla/alizeti au kuniunganisha pia, napatikana Dar.

Nitafurahi kwa mchango wenu kwangu, najua nitapata msaada.

PM ipo wazi,
Nicheki #0675101467 ...
 
Nakupa mrejesho:

Kwa kawaida bidhaa za mazao zinaenda kwa msimu, biashara ya arizeti nayo inaenda kwa msimu.
Mfano, kwa Singida mafuta ya arizeti yanaanza kutoka mwezi wa nne, na hapo bei huanza kupungua.
Mfano, mimi nilinunua mafuta mwaka jana mwezi wa 5-6 kwa bei kati ya 49000 hadi 50000 lkn unaweza kuona mwenyewe namna bei imeenda.

NAMNA YA UNUNUAJI
Ukitaka kupata faida nunua mafuta kijijini uyalete mini, bei inakua ndogo kias na ubora pia. huko utanunua kwa kilo yaani 18.5kg inapimwa kwa mzani.

NB: Epuka kununua wakati msimu unaelekea mwisho maana yatakutana na mafuta mapya na hapo utapata hasara.

Mwenye uhitaji wa ushauri au mzigo (japo sikushauri saiv kama ni ya biashara kwa sasa) 0763360344

Screenshot_20210323-211730_Twitter.jpg


Screenshot_20210323-211801_Twitter.jpg
 
nakupa mrejesho:
Kwa kawaida bidhaa za mazao zinaenda kwa msimu, biashara ya arizeti nayo inaenda kwa msimu.
Mfano, kwa Singida mafuta ya arizeti yanaanza kutoka mwezi wa nne, na hapo bei huanza kupungua.
Mfano, mimi nilinunua mafuta mwaka jana mwezi wa 5-6 kwa bei kati ya 49000 hadi 50000 lkn unaweza kuona mwenyewe namna bei imeenda.

NAMNA YA UNUNUAJI
Ukitaka kupata faida nunua mafuta kijijini uyalete mini, bei inakua ndogo kias na ubora pia. huko utanunua kwa kilo yaani 18.5kg inapimwa kwa mzani.
NB: Epuka kununua wakati msimu unaelekea mwisho maana yatakutana na mafuta mapya na hapo utapata hasara.

Mwenye uhitaji wa ushauri au mzigo (japo sikushauri saiv kama ni ya biashara kwa sasa) 0763360344
Hv mafuta huwayaharibiki ukiifadhi muda mrefu ie miezi 12
 
View attachment 1722795

Hello JF Members,

Natumaini mnaendelea vizuri, naomba msaada kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji connections ya kupata mtu anayeweza niuzie mafuta ya jumla/alizeti au kuniunganisha pia, napatikana Dar.

Nitafurahi kwa mchango wenu kwangu, najua nitapata msaada.

PM ipo wazi,
Habari, nina kiwanda cha mafuta ya Alizeti kipo Shelui, mkoani Singida. Kama unauhitaji naomba tufanye kazi, nitafute kwa namba hii 0713131200 Msengi
 
Back
Top Bottom