Kacharimbe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 216
- 35
Wakuu,
Nimeamua kuomba ushauri baada ya kusumbuliwa na magonjwa kwa muda wa zaidi miaka 30 sasa. Tangu nianze kujitambua, sijawahi kaa zaidi ya mwezi bila mwili wangu kuwa na maumivu sehemu
Nikiugua hiki kitaniandama wee, nikikitibu kinaanza kingine, naanza kutibu. Kikipona kinaanza kingine. Nitoe mifano michache. Nakumbuka nilisumbuliwa sana na kipanda uso.
Nikatumia dawa mbalimbali na kupona baada ya mwaka hivi. Baadaye ikaja miguu, ikanisumbua sana, nikapona. Likaja tumbo usiku tu, nikiamka mzima. Usiku ukiingia nashtuka saa 8 ni tumbo kuuma hadi asubuhi.
Orodha ni ndefu sana ikiwemo Malaria Typhod Amoiba na UTI.Mpaka leo hii nina 40 yrs mwendo ni ule ule nikipona Malaria Typhoid, nikipona Typhoid Malaria. O level na chuo kikuu nilikuwa natumia muda mwingi Dispensary.
Nafuu nilipata nikiwa Alevel. Afya yangu ni nzuri tu na sijawahi kudhoofika sasa mimi sina imani na mambo ya ushirikina lakini wakati mwingine nimekuwa nikitaka kuamini mambo hayo.
Kuna nini hadi siishi kuwa na maumivu/ugonjwa. Nadhani kwa wastani kati ya siku 7 za wiki, sita nakuwa na dozi dawa.
Nimeleta kwenu ili niweze kupata mawazo na uzoefu
Nimeamua kuomba ushauri baada ya kusumbuliwa na magonjwa kwa muda wa zaidi miaka 30 sasa. Tangu nianze kujitambua, sijawahi kaa zaidi ya mwezi bila mwili wangu kuwa na maumivu sehemu
Nikiugua hiki kitaniandama wee, nikikitibu kinaanza kingine, naanza kutibu. Kikipona kinaanza kingine. Nitoe mifano michache. Nakumbuka nilisumbuliwa sana na kipanda uso.
Nikatumia dawa mbalimbali na kupona baada ya mwaka hivi. Baadaye ikaja miguu, ikanisumbua sana, nikapona. Likaja tumbo usiku tu, nikiamka mzima. Usiku ukiingia nashtuka saa 8 ni tumbo kuuma hadi asubuhi.
Orodha ni ndefu sana ikiwemo Malaria Typhod Amoiba na UTI.Mpaka leo hii nina 40 yrs mwendo ni ule ule nikipona Malaria Typhoid, nikipona Typhoid Malaria. O level na chuo kikuu nilikuwa natumia muda mwingi Dispensary.
Nafuu nilipata nikiwa Alevel. Afya yangu ni nzuri tu na sijawahi kudhoofika sasa mimi sina imani na mambo ya ushirikina lakini wakati mwingine nimekuwa nikitaka kuamini mambo hayo.
Kuna nini hadi siishi kuwa na maumivu/ugonjwa. Nadhani kwa wastani kati ya siku 7 za wiki, sita nakuwa na dozi dawa.
Nimeleta kwenu ili niweze kupata mawazo na uzoefu