Msaada magonjwa ya wanawake

Joined
Jan 6, 2015
Posts
6
Reaction score
0
Wakubwa naomba msaada. Mke wangu uke wake unadischarge maji maji mazito kidogo ambayo hayana harufu.

Ana mimba ya miezi mitatu na nimekuwa kila nikikutana naye kimwili analalamika kuwashwa. Je kukutana naye kunaweza kumwathiri mtoto tumboni?

Tumejaribu sana kutumia dawa za vidonge na tube mbali mbali lakini havimsaidii kwa maana hii hali imedumu tangu amebeba mimba. Naomba msaada wenu wakuu.
 
Hospital tushaenda pale regency tukamuona daktari wa hivyo akatuambia tube flani tukaitumia hatukufanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…