Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Habari za kazi wakuu, poleni na changamoto za kila siku.
Nahitaji msaada kuhusu hili:
Nina ndugu yangu yupo mahabusu SEGEREA ni mwaka wa pili sasa hajapandishwa mahakamani, je hii imekaaje kama segerea?, je hawajapeleka mahabusu mahakamani tokea 2019 au ni ndugu yangu tu?,. au kuna sheria ya baadhi ya makosa naomba kufahamishwa,.
Nahitaji msaada kuhusu hili:
Nina ndugu yangu yupo mahabusu SEGEREA ni mwaka wa pili sasa hajapandishwa mahakamani, je hii imekaaje kama segerea?, je hawajapeleka mahabusu mahakamani tokea 2019 au ni ndugu yangu tu?,. au kuna sheria ya baadhi ya makosa naomba kufahamishwa,.