Msaada: Maharagwe yanayostawi mwaka mzima.

Msaada: Maharagwe yanayostawi mwaka mzima.

Alfred Daud Pigangoma

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2009
Posts
1,833
Reaction score
972
Salaam wadau!

Nimefanikiwa kukusanya mbegu za maharagwe makubwa yanayostawi mwaka mzima na huwa yanaota kwa kuzunguka kwenye mti (kama ilivyo kwa mazao ya passion) na hutoa maharagwe mengi kila mche wastani wa kilo mbili kwa mvuno mmoja.

Naomba mwenye kujua jina lake anihabarishe kwani ninayapenda sana ila kinachonisumbua ni jina lake.

Natanguliza shukrani!
 

Attachments

  • IMG-20240716-WA0000.jpg
    IMG-20240716-WA0000.jpg
    97.1 KB · Views: 9
Katavi Kuna wiraya inaitwa mwese Kuna ardhi mzuri ila beba powerbank.
 
Salaam wadau!

Nimefanikiwa kukusanya mbegu za maharagwe makubwa yanayostawi mwaka mzima na huwa yanaota kwa kuzunguka kwenye mti (kama ilivyo kwa mazao ya passion) na hutoa maharagwe mengi kila mche wastani wa kilo mbili kwa mvuno mmoja.

Naomba mwenye kujua jina lake anihabarishe kwani ninayapenda sana ila kinachonisumbua ni jina lake.

Natanguliza shukrani!
Kilo mbili mvuno mmoja au shina moja? Mvuno mmoja ni sawa na shamba moja ulilolima na kulivuna ni tofauti na shina moja.
 
Wana wivu sana kwa wageni...pia mazingira ya huko ni magumu kwa mgeni maana mambo huduma nyingi zinapatikana mtu akijisikia,iwe dukan au hotelini.
Pa kishamba sana sema shida zinatuzagaza sana.
Ni kama kigoma sisi wakuja tunapigwa vita sana
 
Ni kama kigoma sisi wakuja tunapigwa vita sana
Sahihi kabsa. Hata hivyo mwese- ni boda na kigoma so kule unakutana na kabila hizi÷
Wanyarwanda-wabinafsi na wajivuni sana
Watongwe/Wabende-wavivu na wachawi
Wasukuma-bora hawa kidogo
Waha-roho mbaya kama sura Zao
Warundi-wafanyakazi mash ambani
Wachaga- toleo la mwisho.
 
Back
Top Bottom