Msaada: Maji kuisha kwenye horse ya rejeta kwenda kwenye injini

Msaada: Maji kuisha kwenye horse ya rejeta kwenda kwenye injini

LJ BLOG

Senior Member
Joined
Jul 24, 2011
Posts
194
Reaction score
154
Habari wana jamvi naomba msaada wenu kwa wale wanaojua Nina gari yangu Toyota Ipsum 2002 nikikanyaga kwa nguvu mafuta ili nikimbie baada ya muda sitakuta maji kwenye horse inayotoka kwenye mdomo wa rejeta kwenda kwenye injini na kwenye reserved tank ya maji pia. Lakini nikiendesha kawaida huku ikijichanga yenyewe wala hajaishi kabisa ila tu yanapungua kidogo.

1: Je hili ni tatizo na kama ni tatizo linasababishwa na nini?
2:Na je kama ni tatizo linasababishwa na nini?
3:Na je kama kuna mtu kashakumbana na ishu kama hii je uliitatua vipi.

Natanguliza shukrani
 
Hakuna maji yanayoisha tu, hapo pana leakege. Waone mafundi
 
mkuu jaribu kufanya zoezi hili simamisha gari iwashe harafu kanyaga acceleretar rpm ifike mpaka kwenye 3 or 4 kwa kustukiza na kuachia huku mfuniko wa rejeta ukiwa umeufungua harafu angalia kama maji yataruka kwa kasi kupitia mfuniko wa rejeta.kama ndio basi celinder head gasket imeungua.

au jaribu kuangalia mfuniko wa rejeta kama uko sawa
 
mkuu jaribu kufanya zoezi hili simamisha gari iwashe harafu kanyaga acceleretar rpm ifike mpaka kwenye 3 or 4 kwa kustukiza na kuachia huku mfuniko wa rejeta ukiwa umeufungua harafu angalia kama maji yataruka kwa kasi kupitia mfuniko wa rejeta.kama ndio basi celinder head gasket imeungua.

au jaribu kuangalia mfuniko wa rejeta kama uko sawa
Mkuu gari yangu ikiiingia gear inashutka nime Google ikasema nibadili transmission fluid nimefanya hivyo kwa muda wa siku tano sikuona hilo tatizo lakini leo limejirudia naomba ushauri.
 
Mkuu nitajaribu kufanya hivyo lakini pia juzi nilijaribu kuwasha gari ikawa ipo kwenye P then nikakanyaga mafuta kwa nguvu wakati huo huku kwenye exhaust kukawa kunatoka maji kadri anavyokanyaga ndivyo maji yanaruka akiachia hakuna maji na akikanyaga kidogo hakuna maji hii ni nini mkuu @LEGE
 
Mkuu nitajaribu kufanya hivyo lakini pia juzi nilijaribu kuwasha gari ikawa ipo kwenye P then nikakanyaga mafuta kwa nguvu wakati huo huku kwenye exhaust kukawa kunatoka maji kadri anavyokanyaga ndivyo maji yanaruka akiachia hakuna maji na akikanyaga kidogo hakuna maji hii ni nini mkuu @LEGE
Mkuu nitajaribu kufanya hivyo lakini pia juzi nilijaribu kuwasha gari ikawa ipo kwenye P then nikakanyaga mafuta kwa nguvu wakati huo huku kwenye exhaust kukawa kunatoka maji kadri anavyokanyaga ndivyo maji yanaruka akiachia hakuna maji na akikanyaga kidogo hakuna maji hii ni nini mkuu @LEGE

hilo ndio tatizo mkuu why uendelee kuhangaika coz kwenye exhaust haipaswi yatoje maji zaidi ya moshi. inamaana hayo maji kwenye rejeta yanapotelea huko
 
mkuu jaribu kufanya zoezi hili simamisha gari iwashe harafu kanyaga acceleretar rpm ifike mpaka kwenye 3 or 4 kwa kustukiza na kuachia huku mfuniko wa rejeta ukiwa umeufungua harafu angalia kama maji yataruka kwa kasi kupitia mfuniko wa rejeta.kama ndio basi celinder head gasket imeungua.

au jaribu kuangalia mfuniko wa rejeta kama uko sawa
Lege shughuli zako za ufundi unafanyia wapi.
 
hilo ndio tatizo mkuu why uendelee kuhangaika coz kwenye exhaust haipaswi yatoje maji zaidi ya moshi. inamaana hayo maji kwenye rejeta yanapotelea huko
Ok sasa hapa tatizo ni nini?au kipi kinasababisha maji haya kutokea huko?Ndio ulichokisema kuwa cylinder head gasket imeungua au? msaada wako na kama ndio hilo tatizo utatuzi wake ni upi? na gharama yake inaweza ikawa ni kiasi gani?na je Kama bado sipo fresh naweza kutembelea likiwa hivi hivi au ndo naababisha matatizo mengine? @LEGE
 
Ok sasa hapa tatizo ni nini?au kipi kinasababisha maji haya kutokea huko?Ndio ulichokisema kuwa cylinder head gasket imeungua au? msaada wako na kama ndio hilo tatizo utatuzi wake ni upi? na gharama yake inaweza ikawa ni kiasi gani?na je Kama bado sipo fresh naweza kutembelea likiwa hivi hivi au ndo naababisha matatizo mengine? @LEGE
mkuu hapo gasket imeungua ndio maana maji yanatoka kwenye exhaust.hapo nikufungua na kubadili nyingine.
 
huwezi kulitembelea hivyo sio sahihi kabisaa cos inaweza ikachanganya maji na oil ikawa shida zaidi engine ika knok
 
hilo ndio tatizo mkuu why uendelee kuhangaika coz kwenye exhaust haipaswi yatoje maji zaidi ya moshi. inamaana hayo maji kwenye rejeta yanapotelea huko
Aisee hayaa mambo tuachie wataalam
 
Back
Top Bottom