Unadhani hiyo hela uliyotoa ilikuwa ni ya nin ? ulitakiwa kumuuliza daktari akueleweshe mpaka uelewe na ulizike na kama haujalizika unakata rufaa.Mrs wangu ana ujauzito wa miezi 6, juzi akisumbuliwa na tumbo La kuharisha ikabidi nimpeleke hospitali ya private
Daktari akashauri afanyiwe Vipimo, ambapo hakukutwa Na Malaria, wala UTI
Kuhusu ultrasound wakasema kuwa placenta(mfuko wa maji) imesogea karibu na mlango wa uzazi,ambao umefungwa hadi sasa, wakasema hiyo ni mbaya Sana kwa mjamzito inaweza sababisha matatizo ya Mimba
Mwenye kujua Haya mambo vizuri naomba anieleweshe vizuri Kama hicho kitu kina matatizo Kwasababu Mimi Najua kuwa kwa miezi sita mwili huwa unajiandaa kumtoa mtoto(kuzaliwa) Msaada tafadhali
Umeeleza vizuri mkuu, bilashaka na wewe utakuwa ni medical personnel mkuu.Hiyo inaitwa PLACENTA PREVIA na ina GRADE zake.. Halafu PLACENTA siyo mfuko wa maji, bali humpatia mtoto chakula na oxygen awepo tumboni, ni KONDO kwa kiswahili... Kama umeambiwa imefunga kabisa ina maana mama ni lazima afanyiwe OPERATION mapema kabla hajafikia wakati wa kupata uchungu, na uangalizi wa karibu unatakiwa maana unaweza kuwapoteza wote.. Nafkiri huko umepewa maelezo ya kutosha, kama hujapewa inabidi uende kwa daktari..
Placenta inaposhuka chini ni hatari, kwanza ni si rahisi kujifungua mwenyewe, lazima c-section, pili hatakiwi kufanya kazi yoyote anatakiwa awe na bedrest all time, sex ni hatari zaidi, ila placenta kuwa chini kuna grade nafkiri 1, 2, 3. Grade 3 hatakiwi hata kutandika shuka mwendo mdogo sana, mara nyingi inapelekea bleeding nying. Ni lazima umuone daktari, amuelekeze namna salama ya kuishi.Mrs wangu ana ujauzito wa miezi 6, juzi akisumbuliwa na tumbo La kuharisha ikabidi nimpeleke hospitali ya private
Daktari akashauri afanyiwe Vipimo, ambapo hakukutwa Na Malaria, wala UTI
Kuhusu ultrasound wakasema kuwa placenta(mfuko wa maji) imesogea karibu na mlango wa uzazi,ambao umefungwa hadi sasa, wakasema hiyo ni mbaya Sana kwa mjamzito inaweza sababisha matatizo ya Mimba
Mwenye kujua Haya mambo vizuri naomba anieleweshe vizuri Kama hicho kitu kina matatizo Kwasababu Mimi Najua kuwa kwa miezi sita mwili huwa unajiandaa kumtoa mtoto(kuzaliwa) Msaada tafadhali
Mkuu,dr alisema inaweza Hali hiyo kurudi vizuri nilisikia akitaja 'membrine ' mke wangu hana maumivu, wala damu haitokiPlacenta inaposhuka chini ni hatari, kwanza ni si rahisi kujifungua mwenyewe, lazima c-section, pili hatakiwi kufanya kazi yoyote anatakiwa awe na bedrest all time, sex ni hatari zaidi, ila placenta kuwa chini kuna grade nafkiri 1, 2, 3. Grade 3 hatakiwi hata kutandika shuka mwendo mdogo sana, mara nyingi inapelekea bleeding nying. Ni lazima umuone daktari, amuelekeze namna salama ya kuishi.
Kwa hiyo siyo hiyo niloifahamu mimi, ila ni vizuri kupata maelezo ya daktari. Hata hii placenta previa hamna maumivu kwa wengine. Ushauri wa daktari ni muhimuMkuu,dr alisema inaweza Hali hiyo kurudi vizuri nilisikia akitaja 'membrine ' mke wangu hana maumivu, wala damu haitoki
Ndugu itakuwa umechanganya maelezo, maana Membrane na Placenta ni vitu viwili tofauti,,,,, na kama uliambiwa ni Placenta imeziba njia huwa hakuna tena ishu ya kusema itakuwa kawaida.Mkuu,dr alisema inaweza Hali hiyo kurudi vizuri nilisikia akitaja 'membrine ' mke wangu hana maumivu, wala damu haitoki
itakuwa ni membrane Kwasababu alisema Kuna mdada flani yy maji yalianza kutoka hadi mtoto akapata madharaNdugu itakuwa umechanganya maelezo, maana Membrane na Placenta ni vitu viwili tofauti,,,,, na kama uliambiwa ni Placenta imeziba njia huwa hakuna tena ishu ya kusema itakuwa kawaida.
Membrane ndo ile tunayoiita CHUPA ya uzazi ambayo huwa na maji yanayombeba mtoto.
Fuatilia hiyo ishu uelekezwe kinagaubaga.