Msaada majina toka bodi ya mikopo siyapati

mshamu

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
418
Reaction score
134
Jamani najaribu kuangalia majina ya walipata mikopo siyaoni na dogo yupo hapa anawasiwasi kweli hakuna aliyeyapakuwa atuwekee hapa jamani
Asanteni kwa watakaonisadia
 
Website zote za TCU na HESLB zinasumbua kwa sasa....kuwa mvumilivu tu.
 
Nipe jina kwa pm nikutizamie, maana mie nimedownload yote.
 
Website zote za TCU na HESLB zinasumbua kwa sasa....kuwa mvumilivu tu.

watu wengi wanabrowse, hivyo avumile. Kwa mfano mimi niliangalia saa nane usiku, ilikuwa raha. Do the same if you can! sasa hivi utapoteza muda mwingi na fadhaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…