Msaada makadirio ya bei na sehemu naweza kupata "curved monitor"

Msaada makadirio ya bei na sehemu naweza kupata "curved monitor"

Joined
Nov 12, 2017
Posts
3
Reaction score
0
natafuta 34" - 37" curved monitor, ndani ya Tanzania bei na wapi nawaza pata? sio lazima brand niliyo attach hapa cc
IMG_20230207_093659_368.jpg
 
Bei inasimama kwenye kitu kama TZS 1.5m. Wacheki iCare Technology wapo Dar-es-Salaam.

Unaweza kupitia Instagram page yao @icaretechnologytz_ kuona bidhaa walizonazo.

Recommendation: LG curved monitor, hii walikuwa nayo ni kali sana.
 
Bei inasimama kwenye kitu kama TZS 1.5m. Wacheki iCare Technology wapo Dar-es-Salaam.

Unaweza kupitia Instagram page yao @icaretechnologytz_ kuona bidhaa walizonazo.

Recommendation: LG curved monitor, hii walikuwa nayo ni kali sana.
thanks mkuu
 
Monitor zenye resoln kubwa bei huwa ni kisanga.
Kuna moja niliikuta kkoo ya lg,kuuliza nikaambiwa 1.4 duh.hapo bado mashine na utumbo mwingine.
 
Monitor zenye resoln kubwa bei huwa ni kisanga.
Kuna moja niliikuta kkoo ya lg,kuuliza nikaambiwa 1.4 duh.hapo bado mashine na utumbo mwingine.
Pia wanapiga sana kibongo bongo ndio maana vyema ukanunue tu mitumba.
 
Njia rahisi ni kuagiza nje.

Hizi za bongo unaweza pigwa bei mara 2.
 
Back
Top Bottom