HM Interior Designer
New Member
- Nov 12, 2017
- 3
- 0
thanks mkuuBei inasimama kwenye kitu kama TZS 1.5m. Wacheki iCare Technology wapo Dar-es-Salaam.
Unaweza kupitia Instagram page yao @icaretechnologytz_ kuona bidhaa walizonazo.
Recommendation: LG curved monitor, hii walikuwa nayo ni kali sana.
ngoja niwacheki shukrani mkuu
Pia wanapiga sana kibongo bongo ndio maana vyema ukanunue tu mitumba.Monitor zenye resoln kubwa bei huwa ni kisanga.
Kuna moja niliikuta kkoo ya lg,kuuliza nikaambiwa 1.4 duh.hapo bado mashine na utumbo mwingine.