Nataka kujua msingi hadi kuezeka kuweka fremu za chuma, milango ya muhimu tu na kuweka choo cha kawaida. Nyumba iwe na sebule, jiko ma two bedrooms. Ukiacha na finishing zote. Naongelea ujenzi wa mtanzania wa kawaida asoweza kujenga kwa mkupuo hadi all finishing. Please be kind.