street_child
Member
- May 10, 2023
- 5
- 8
Kitu hatari jamani tusaidieni gharama kwa kiwanja flat mil 12 najenga kama hii japo nipate pakugegedea warembo maana hapa hakuna mrembo akaingia na kutoka bila kuvua chupiHabarini wanandugu, nataka kuingia kwenye ujenzi ila kwa kuanza na nyumba ndogo kwanza ya chumba kimoja na sebule, kisha nihamie ndo nianze kujenga nyumba kubwa.
Plot ipo kigamboni na ni tambarare kabisa.
Naangalia pia fundi wa kufanya nae ujenzi huu.
Natanguliza shukrani. View attachment 2616774View attachment 2616775
View attachment 2617381View attachment 2617382
Nimepokea ushauri mkuu, nitalitafakari iloNyumba nzuri ila ongeza hata room moja,ninatumaini hii ikiisha soon utaanza kuishi na mwanamke na baada ya muda si mrefu utakuwa na mtoto,kwahiyo ongeza chumba kimoja ili baadaye mtoto aweze angalau kulala na dada wa kazi...
Aisee nii ameifanya Architecture mmoja jamaa makini sana aisee, nitaweza kukuunganisha nae mkuu. Ni mtu safi sana kiukweli.Nyumba nzuri Sana kwa Kuanzia maisha.
Nami imenivutia Sana...
Kwa nyuma ipoje? zinaonekana picha za mbele tu.
Nami nataka kujenga nyumba ndogo kama hiyo, lakini naongezapo self bedroom moja na study room.
street_child ramani umepata wapi?
Nahitaji:
- Master bedroom
- Self bedroom
- Sitting/Living room
- Jiko
- Dinning room
- Study room
- Public toilet (au nafikiria public toilet iwe nje ya nyumba?)
Mkuu stephot , hapo vipi? Ni kwaajili ya bachelor life.
Mkuu nitakucheki tujadili kazi, asanteKaka nicheki tufanye kazi chap 0757552515