Alpha Blondy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2018
- 304
- 440
Wakuu nahitaji msaada wa maelezo kwa yeyote anaejua haya makoto.
Ipo hivi nilifungua account ya CRDB bank ile ya furahaa account kwa maelezo yao, kuwa haina makato ya kila mwezi,
Nikakaa muda kidogo kama miezi mitano bila kuitumia, nikawa nimesahau password,
Leo nikaenda bank ku reset password, wakaanitaka nilipe Tsh 2999, nikalipa nakufuata process zote, wakaniambia nikabadilishe kwenye mashine ya ATM,
Kabla ya kwenda kwenye Kubadilisha kwenye ATM nikadeposit 1,000,000 nikiwa ndani ya benk, nikatoka na kwenda kubadili Password kwenye mashine ya ATM nikabadili nilipo angalia salio nikakuta limebaki 996,300 yan imepungua 3,700.
Kwa yeyote anayejua kwanini nimekatwa hicho kiasi aniambie
Ipo hivi nilifungua account ya CRDB bank ile ya furahaa account kwa maelezo yao, kuwa haina makato ya kila mwezi,
Nikakaa muda kidogo kama miezi mitano bila kuitumia, nikawa nimesahau password,
Leo nikaenda bank ku reset password, wakaanitaka nilipe Tsh 2999, nikalipa nakufuata process zote, wakaniambia nikabadilishe kwenye mashine ya ATM,
Kabla ya kwenda kwenye Kubadilisha kwenye ATM nikadeposit 1,000,000 nikiwa ndani ya benk, nikatoka na kwenda kubadili Password kwenye mashine ya ATM nikabadili nilipo angalia salio nikakuta limebaki 996,300 yan imepungua 3,700.
Kwa yeyote anayejua kwanini nimekatwa hicho kiasi aniambie