WanaJF naombeni Msaada,nimeshajenga Msingi nataka kupandisha nyumba yangu hadi juu kozi kumi kufunga Mkanda na kuweka kozi 3 juu ya Mkanda(Lenta) wa kusukiwa nondo 4,makisio ya matofali ni 3700,natarajia kumtumia Fundi wa kawaida Technician ila sina ujuzi wa gharama za Ufundi naogopa kuingiliwa,nilikuwa naomba mnipe mwanga kwa gharama za kawaida za kibongobongo lakini zenye ubora na tija natakiwa kumlipa huyu Fundi kwa kazi hiyo Tsh ngapi?Naombeni mnisaidie kunipa Mwanga wakuu.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums