Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 576
- 876
WanaJF naombeni Msaada,nimeshajenga Msingi nataka kupandisha nyumba yangu hadi juu kozi kumi kufunga Mkanda na kuweka kozi 3 juu ya Mkanda(Lenta) wa kusukiwa nondo 4,makisio ya matofali ni 3700,natarajia kumtumia Fundi wa kawaida Technician ila sina ujuzi wa gharama za Ufundi naogopa kuingiliwa,nilikuwa naomba mnipe mwanga kwa gharama za kawaida za kibongobongo lakini zenye ubora na tija natakiwa kumlipa huyu Fundi kwa kazi hiyo Tsh ngapi?Naombeni mnisaidie kunipa Mwanga wakuu.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
mpatie milioni tatu
na utakapofikia steji ya kufanyiwa wiring ya umeme tuwasiliane 0718302132
Mkuu,
Huwezi kujua gharama za ujenzi wa nyumba yoyote kama hujajua ukubwa wa nyumba yako.
Kwa hiyo kama una ramani ya nyumba yako leta hapa jukwaani au kama unaweza kumleta mtaalam wa uthamini akapima ukumbwa wa nyumba yako, ndio unaweza kupata uhalisia wa gharama ya ujenzi wa nyumba yako.
Vinginevyo utadanganywa tu!
WanaJF naombeni Msaada,nimeshajenga Msingi nataka kupandisha nyumba yangu hadi juu kozi kumi kufunga Mkanda na kuweka kozi 3 juu ya Mkanda(Lenta) wa kusukiwa nondo 4,makisio ya matofali ni 3700,natarajia kumtumia Fundi wa kawaida Technician ila sina ujuzi wa gharama za Ufundi naogopa kuingiliwa,nilikuwa naomba mnipe mwanga kwa gharama za kawaida za kibongobongo lakini zenye ubora na tija natakiwa kumlipa huyu Fundi kwa kazi hiyo Tsh ngapi?Naombeni mnisaidie kunipa Mwanga wakuu.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums