navigator msomi
Senior Member
- May 8, 2018
- 188
- 224
Wakuu samahani, naomba mwenye maarifa kidogo juu ya swala hili anipe mawazo kidogo.
Nilijaza fomu ya kuomba passport mtandaoni hadi mwisho kisha nikailipia then after nika download tayari kwa kui-submit ofisi za uhamiaji.
Tatizo langu ni kuwa baada ya kuidownload form nimeona picha niliyotumia haijakaa vizuri, yaani nilkosea wakati nina upload picha haikukaa poa.
Swali langu ni kwamba, je, naweza fanya chochote ku-edit picha au nitume maombi mapya?
Nilijaza fomu ya kuomba passport mtandaoni hadi mwisho kisha nikailipia then after nika download tayari kwa kui-submit ofisi za uhamiaji.
Tatizo langu ni kuwa baada ya kuidownload form nimeona picha niliyotumia haijakaa vizuri, yaani nilkosea wakati nina upload picha haikukaa poa.
Swali langu ni kwamba, je, naweza fanya chochote ku-edit picha au nitume maombi mapya?