Msaada: Makosa ya Jinai!!!

Katavi

Platinum Member
Joined
Aug 31, 2009
Posts
42,023
Reaction score
12,811
Sina utaalamu wowote na sheria na ndio maana natatizwa na hili neno:

Makosa ya Jinai yanakuwaje/yanatofautianaje na makosa ya kawaida.
Nawasilisha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…