Msaada: Mambo ya kuzingatia unaponunua chombo cha moto

Msaada: Mambo ya kuzingatia unaponunua chombo cha moto

mtzedi

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2011
Posts
5,983
Reaction score
6,171
Habari za asubuhi wana wa nchi. Naombeni mnielimishe ni mambo yapi yanahitajika pale unaponunua chombo cha moto kama gari, pikipiki au bajaji kutoka kwa mtu.
Nisaidieni mambo yote ambayo yatanisaidia nisitapeliwe au kuuziwa mali ya wizi.
 
aim/ lengo la wewe kununua hicho chombo
 
Lengo ni kununua hicho chombo gari au pikipiki. Mfano Mr A ananiuzia mimi Mtzedi pikipiki .
ndio unanunua ukitumie kwa kazi gani? maana ukijua matumizi yako ndio utajua unahitaji chenye uwezo kiasi gani
 
Jamani si mngetiririka tu ili nasisi tupate kuelewa nyie mnaulizwa swali na nyie mnauliza swali
 
Kabla yakununua lazima ujiridhishe kuwa chombo husika ni Mali ya muuzaji, upewe kadi ya chombo na upate barua ya mauziano toka ofisi ya serikali ya mtaa, polisi, mahakamani au kwamwanasheria. Vile vile lazima familia ya muuzaji ihusishwe Kama mke au watoto au ndugu yeyote.
 
Kabla yakununua lazima ujiridhishe kuwa chombo husika ni Mali ya muuzaji, upewe kadi ya chombo na upate barua ya mauziano toka ofisi ya serikali ya mtaa, polisi, mahakamani au kwamwanasheria. Vile vile lazima familia ya muuzaji ihusishwe Kama mke au watoto au ndugu yeyote.
Peleka namba za chombo TRA ili kupata hakika/uthibitisho kuwa ni chombo halali na mmiliki ndiye.
Kumbuka kuona kadi tu haitoshi.
Teknolojia inasaidia kutapeli.
 
Back
Top Bottom