Wakuu, naamini mpo wazima.
Niende moja kwa moja kwa nachoomba msaada.
Naomba kuuliza,
Je, marejesho ya Loan board kwa sisi tuliokuwa na,mkopo enzi tukiwa chuo yanaanza kulipwa mda gani baada ya kumaliza?
For instance, umemaliza mwaka jana, then ukapata ajira mwaka huo huo, unapaswa kuanza kulipa tangia uanzapo kazi au ni baada muda flan ambao upo?
pia, ningependa kujua ni %ge ngapi ya mshahara ambayo inakatwa kwa mujibu wa sheria.
Natanguliza shukrani zangu kwenu nyote.