Msaada; Masharti ya biashara mtanzania

Msaada; Masharti ya biashara mtanzania

mkubhi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
2,216
Reaction score
3,319
Wapendwa poleni na hongereni kwa majukum....

Wadau naomba mnisaidie upatikanaji wa mashariti haya na gharama zake kwa mtaji wa million mbili(2M)

1. BARCODES YA BIDHAA

2. TRA RECIT

3. LESSEN YA BIASHARA

4. TIN YA BIASHARA....

Natanguliza shukulani wadau!!!
 
Back
Top Bottom