Msaada mashine ya kukata na kusaga nyama

Msaada mashine ya kukata na kusaga nyama

Godee jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2012
Posts
1,836
Reaction score
2,536
Kwa anaefahamu jinsi nitakavyoweza kupata machine ya kukata na kusaga nyama, maeneo zinapouzwa na bei zake kwa used and new one.Nawakilisha
 
ninayo ya kusaga used, na bado ipo kwenye hali nzuri sana. if interested Pm me.

otherwise unaweza kupata mpya mtaa wa Jamhuri opposite wizara ya science & technology
 
ninayo ya kusaga used, na bado ipo kwenye hali nzuri sana. if interested Pm me.

otherwise unaweza kupata mpya mtaa wa Jamhuri opposite wizara ya science & technology

Sawa mkuu, nitafanya hivyo soon
 
Back
Top Bottom