Msaada Mashine ya kutengeneza sabuni

Msaada Mashine ya kutengeneza sabuni

minze manonu

Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
50
Reaction score
16
Habari ndugu wana janvi, kwa mwenye ufaham kuhusu mashine za kutengeneza sabuni za mche naomba anijuze upatikanaji wake pamoja na bei.
 
zipo but kwa apa bongo cjajua.Chna znpatkana if unataka ni PM ntakupa contact zao.Ni nouma izo mashine ucpme, pia.......
 
Weka mambo hadharani na wengine wafaidike
 
ukiona gharama kubwa ni pm namba yako nikuungishe kwa mtu akuelekeze jinsi ya kutengeneza sabuni bila kutumia mashine na zinakuwa nzuri tu
 
sijajua gharama yake, lakii unaweza kuwauliza hawana shida wale.
 
ukiona gharama kubwa ni pm namba yako nikuungishe kwa mtu akuelekeze jinsi ya kutengeneza sabuni bila kutumia mashine na zinakuwa nzuri tu
mkuu nimeku pm ili jamaa anipigie,mpaka sasa hajapiga.
 
Back
Top Bottom