Msaada;mashine yangu inakuwa imelala nkiamka

TOMEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
588
Reaction score
118
Jaman mimi ni kijana mwenye miaka 29 nikiamka asubuhi uume wangu unakuwa umelala badala ya kusimama nn tatizo?
 
Kama inakutokea asubuhi tu ukiamka ila wakati mwingine wowote uko sawa hilo si tatizo.
 
Tatizo limeanza lini? Toa maelezo kamili, umeshafika chumba Cha Madaktari..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Naona umeshaanza kupaniki mkuu. Inatokeaga sometimes
 
anahitaji upasuaji. zahanati iliyokaribu nawe
 
Jaman mimi ni kijana mwenye miaka 29 nikiamka asubuhi uume wangu unakuwa umelala badala ya kusimama nn tatizo?
Pole ikiwa uume kutosimama wakati ukiamka Asubuhi kwenda chooni hiyo ni dalili ya wewe una upungufu wanguvu za kiume pia uache mambo ya kupiga punyeto. Inaonekana una kamchezo kakupiga Punyeto acha hiyo tabia. Ukihitaji dawa za kuongeza na kurudisha nguvu za kiumöe tembelea hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html
 
For sure Mzizimkavu, jamaa inaonekana amejiingiza kwenye punyeto.

Acha punyeto na mashine itarudi katika hali yake ya kawaida.
 
Kunywa juice nyingi kilasiku pia kunywa maziwa baridi kila uamkapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…