1: aina
za tz na za nnje kama india.
2: za tz zinapatikana gerezani na sidi za nnje hadi india
3: mara nyingi za tz zinakuwa na vyuma dhaifu na kukatika mara kwa mara.na bei ni kati ya 1 - 1.5M
Na za nje zipo dhaifu bei ni 1m na imara.ni 3-7M.
4: faidi kamili ni kati ya 20000/25000 kwa kila korja(miwa 20) ambapo kwa siku za jua kali unauza hadi 10korja.
Call 0779420000 .