Baba Jazey
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 500
- 556
natumaini ni wazima wa afya njema, naombeni kujua kwa kenye ni sehem gani naweza pata nguo za mtumba na viatu iliniweze kuzileta Tanzania kwa ajili ya biashara. ndugu zetu wakenya, msaada wenu ni muhim sana. natanguliza shukran