Msaada Maswa kunakalika au

karibu sana! Kuna kilakitu binadamu anachoitaji. Hata kitimoto kama nimdau utapata! Maji ni shida kidogo na umeme ni mgao wa mdamrefu ingawa hautangazwi lakini utazoea usijali.
 
karibu sana! Kuna kilakitu binadamu anachoitaji. Hata kitimoto kama nimdau utapata! Maji ni shida kidogo na umeme ni mgao wa mdamrefu ingawa hautangazwi lakini utazoea usijali.
haya mkuu shukran kwa ukarimu na nauli ni kama ngapi toka shinyanga town coz niliambiwa hio ndio njia
 
Umekosa mahali pengne pa kwenda kuanzia maisha?uko ni ful uchawi mkuu,majitu yanarogana na kukatana mapanga haswa.
 
haya mkuu shukran kwa ukarimu na nauli ni kama ngapi toka shinyanga town coz niliambiwa hio ndio njia

kiongozi kutoka shinyanga kwenda bariadi nauli ni elfu nane! sasa kutoka shinyanga kwenda maswa inaweza kuwa elfu tano au sita! sijawahi tumia public transport kwa njia hii lakini usafiri upo wa kutosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…