Msaada maswala yaulipaji kodi kwa kampuni mpya taratibu zipo je?

meamba

Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
9
Reaction score
2
Habari zenu nyote wana jukwaa kimatumizi ya mtandao sio mzuri saana,lakini nimeshawishika kuleta ombi langu kwenu ili niweze kupata jibu litakalo niwezesha kufanya maombi ya TIN kwa ajili ya kampuni yangu nilio isajili hivi karibuni.
kwa yeyote anaweza kunipa muongozo masuala ya kodi yanakua je nitashukuru sana endepo nitapata msaada.
 
Hiyo ni kazi ya ushauri. Hujaeleza uko mji gani ndani ya Tanzania. Kama uko Dar wasiliana nami kwa namba 0774272018 tupeane maelekezo. Karibu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…