Wana jamvi heshima kwenu! baada ya kupata maelezo mengi hapa jamvini sasa nimeamua rasmi naanza kufuga kuku wa mayai. Kama kawaida kabla sijaanza ningependa kuwatembelea wafugaji,wataalam, na wadau wengine nikitaka kujua mengi kuhusu ufugaji huo. Ninataka kuandaa kitu kama questionnaire ili kupata majibu ya watu hao nitakaowatembelea, msaada ninaoomba kwenu ni je niwaulize vitu gani ili viweze kunisaidia kuanza kwa ufanisi kazi hii?
KARIBUNI SANA WAUNGWANA!
KARIBUNI SANA WAUNGWANA!