Bado ndo nasubiria hapaUshakua shortlisted?
umekuwa selected forinterview?Poleni na majukumu ndagu zangu. Nime-aplly kazi katika taasisi ya taliri ambayo inajihusisha na utafiti wa rasilimali za mifugo na mamlaka ya viwanja vya ndege TAA kupitia sekretarieti ya ajira sasa ninaomba kupta tips ya maswali yake ya interview hasa kwenye usaili wa kuandika.
Nini natakiwa kujiandaa nacho. Tafadhalini nisaidieni nianze kujiandaa hapa. Nafasi hizi sifa yake ni cheti cha form four tu.
Bado ntaka nijue nini kinaweza kutokea. Coz sifa na vigezo ninavyo kwa nafasi hizo tajwa.umekuwa selected forinterview?
Bado ntaka nijue nini kinaweza kutokea. Coz sifa na vigezo ninavyo kwa nafasi hizo tajwa.
Kama unakitu help me