Jmturu
Member
- Oct 13, 2011
- 56
- 9
habari wanajamvi,kwanza kabisa poleni na majukumu ya kila siku pili hongera kwa kuzaliwa tanzania na kuongeza idadi ya waafrika. nikirudi ktk topic nduguzanguni nahitaj msaada wa ushauri ni nini cha kufanya kwa huyu mtoto anaeteseka tangu kuzaliwa kwa mwaka na miezi 7 sasa. ana tatizo la kutokwa na vipele vigum km vya joto lkn havijali hali ya hewa. vina tabia ya kukauka na kutoka vingine bila kumuacha apumzike hata kidogo. nimejaribu kumbadilishia mafuta ya kupaka mara kadhaa km vile samona,jonhson baby,vaseline na ht babycare lkn tatizo limesimama pale pale. nimelileta kwenu wana jf huenda nikapata utatuzi km inavyokua kwa mengine.