Habari ndugu zangu,miaka 10 iliyopita Jino la mwisho taya la chini 'wisdom tooth ,lilimeguka nikaenda muhimbili wakapiga xray.
Lilikuwa limeota vibaya kitaalamu (horizontal 3 molar cimpaction),baada ya madoctor kusoma ile xray wakaanza kulidiscuss kwa muda mrefu.
Kama vile tatizo nikubwa nikasikia wanasema lazima waniingize Minor Theatre.Nikaondoka sikurudi tena.
Sasa lile jino limeanza tena baada ya muda wote huo.Nifate clinical procedures zipi zitakazonisaidia?
Kuhusu Hosp nzuri za meno na diagnosi nzuri.
Lilikuwa limeota vibaya kitaalamu (horizontal 3 molar cimpaction),baada ya madoctor kusoma ile xray wakaanza kulidiscuss kwa muda mrefu.
Kama vile tatizo nikubwa nikasikia wanasema lazima waniingize Minor Theatre.Nikaondoka sikurudi tena.
Sasa lile jino limeanza tena baada ya muda wote huo.Nifate clinical procedures zipi zitakazonisaidia?
Kuhusu Hosp nzuri za meno na diagnosi nzuri.