Msaada matibabu ya nyonga

grand gazelle

Senior Member
Joined
Jun 25, 2017
Posts
118
Reaction score
178
Habari ndugu zangu

Kama kichwa kinavyosema, nina rafiki yangu anasumbuliwa sana na nyonga takriban miezi 6 sasa. Ameshafanya vipimo vyote vya kidactari lakini tatizo halionekani, dawa nahisi ameshatumia zote coz ni nyingi mno lakini bado nyonga inaendelea kumsumbua.

Naomba kama unajua njia ya kutoka kwenye hili tatizo plz utusaidie kwa mawazo. Tutashukuru mno. Tunatanguliza shukrani
 
Analo tatizo nashauri aende India. Zeydus hospital wana Dr bingwa ambae Huwa unakuja Dar periodically. Alimtibu Mbatia
 
huyo rafiki yako ni mwanamke au mwanaume hiyo nyonga ilisababishwa na kuanguka au ilianza tu yenyewe taratibu ghafra
 
Mafuta ya karafuu kwenye maduka ya dawa za asili, nunuen na habat sauda (black seed) awe anakunywa.

Polen sana.
 
Analo tatizo nashauri aende India. Zeydus hospital wana Dr bingwa ambae Huwa unakuja Dar periodically. Alimtibu Mbatia
Asante mkuu, hapa bongo hatuwezi pata matibabu? Coz India parefu na vyuma vimekaza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…