hakuna matata2
Member
- Sep 25, 2021
- 23
- 22
Naombeni mnifundishe maana na matumizi kw a kupatiwa sentensi ya neno muktadha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mazingira (context).
Mfano,
Somo la Kiswahili nilipata ufaulu wa alama D, kwa muktadha huo, usizingatie sana au kutilia maanani ushauri wangu.
Naombeni mnifundishe maana na matumizi kw a kupatiwa sentensi ya neno muktadha