Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hivi sababu inaweza kuwa nini?!
Maumivu unayapata kwa style ipi? Fafanua
Sababu ni huyo mwenzako. Njoo kwangu.
What's special about you hadi nije kwako?! Shida yangu ni kusolve tatizo na kutulia na nimpendae.
What's special with me?
I shoot cannonballs baby.
Me sio mfupi wala mrefu,sio mnene wala mwembamba,nipo size tu dada
Hahaha.... U be serious!
Pole kaangalie magonjwa ya zinaa
Labla mwenzio ana ume mkubwa
Au unajini Mahaba ambalo linataka lifanye na ww tu ,akiona umekutana na mwenzio anakuletea maumivu,
Jaribu kuwaona madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake kama upo Dar wapo wengi kama Dr Shafik wa Aga Khan na wengineo wakufanyie vipimo kuweza kugundua tatizo lako.Je unapata siku zako vizuri?