Msaada: Maumivu pindi jogoo akiwika

Going Concern

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
1,071
Reaction score
1,212
habari za kazi ndugu zangu, kunatatizo limejitokeza kama miezi miwili sasa hivi, nikisimamisha jogoo wangu anakua anauma, ata kama niko na mama watoto, uume unauma, yani misuri inakua imekaza sana, naombeni mawazo chana ndugu zangu.

NB: situmii kilevi chochote, am not smoking, sijawai kutumia dawa yeyote yakuongeza nguvu za kiume.

mungu awazidishie.
 
Kaka hy ww unaweza ukawa tu na nguvu nyingi kiongozi inakubidi uwe unapata muda na mama anakuchua ipasavyo,piga dozi asubuhi na usiku week moja tu utaona matokeo

Mnakuwa bize sanaa bana!!!!pole
 
makubwa inamaana huyo jogoo huma tu wakati akindinda, kuna mengi sana may be kunaugonjwa waone wataalam
 
"Priapism"?????????. Use Google to Search for and Read further on this medical condition.
 

Mkuu hata mimi hiyo hali ilinitokea,nilienda kwa dokta aliponipima alisema nipunguze vinywaji ninavyotumia,ninywe sana maji,
yaani pombe nilizokuwa nakunywa zilikuwa zinanipa nguvu sana,jogoo anasimama mpaka unahisi mishipa inataka kupasuka.
 
Mkuu hata mimi hiyo hali ilinitokea,nilienda kwa dokta aliponipima alisema nipunguze vinywaji ninavyotumia,ninywe sana maji,
yaani pombe nilizokuwa nakunywa zilikuwa zinanipa nguvu sana,jogoo anasimama mpaka unahisi mishipa inataka kupasuka.

situmii kilevi chochote mkuu, yani mishipa inakaza mpaka naogopa.,
 
ikisimama ipe chakula yake,kwani huelewi ikisimama nini maana yake mdau?maswali mengine bhana
 
Hiyo ndio safi kwani mie mwenzio ikisimama kwa mtindo huo mwenzangu huwa anafurahia kweli anahangaika nayo mpaka wakati wa kufunga goli huwa najikuta natoa ka-mguno fulani hivi ka-utamu,na mwenyewe huwa anaisifia,mhh leo ilikuwa taamuu.Sometimes kuna baadhi ya vyakula ukila sana inasababisha hiyo hali mfano ndizi mbivu ukifululiza,kahawa ukifululiza,chai ya kawaida pia ina effect hiyo.
 

Fanya mazoezi na punguza hisia za mara kwa mara.
 
nguvu nyingi unalalamika, zikipungua ndyo kabisa lawama ooh! mara cjui nini, by the way hal hutokana na kuwa hamu ya tendo na kutopata mahali pa kukidhi hlo tendo hukuta uume kucmama mara kwa mara, fanya mazoezi pia unapopata nafasi itumie vyema huo sio ugonjwa. ila kutokana na tatzo lilipo kamuone daktari kwa uhakika wa afya yako na ndoa yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…