Going Concern
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 1,071
- 1,212
habari za kazi ndugu zangu, kunatatizo limejitokeza kama miezi miwili sasa hivi, nikisimamisha jogoo wangu anakua anauma, ata kama niko na mama watoto, uume unauma, yani misuri inakua imekaza sana, naombeni mawazo chana ndugu zangu.
NB: situmii kilevi chochote, am not smoking, sijawai kutumia dawa yeyote yakuongeza nguvu za kiume.
mungu awazidishie.
Mkuu hata mimi hiyo hali ilinitokea,nilienda kwa dokta aliponipima alisema nipunguze vinywaji ninavyotumia,ninywe sana maji,
yaani pombe nilizokuwa nakunywa zilikuwa zinanipa nguvu sana,jogoo anasimama mpaka unahisi mishipa inataka kupasuka.
Hiyo ndio safi kwani mie mwenzio ikisimama kwa mtindo huo mwenzangu huwa anafurahia kweli anahangaika nayo mpaka wakati wa kufunga goli huwa najikuta natoa ka-mguno fulani hivi ka-utamu,na mwenyewe huwa anaisifia,mhh leo ilikuwa taamuu.Sometimes kuna baadhi ya vyakula ukila sana inasababisha hiyo hali mfano ndizi mbivu ukifululiza,kahawa ukifululiza,chai ya kawaida pia ina effect hiyo.