Msaada: Maumivu wakati wa kukojoa

kelao

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
8,132
Reaction score
5,800
Salamu kwenu nyote wana JF.

Nina mdogo wangu alikuwa anasumbuliwa na maumivu wakati wa kukojoa na alipoenda kupima kaambiwa ana UTI. Alipewa dozi ya UTI, dawa zimeisha lakini bado maumivu yanaongezeka kwenye uume sehemu ya mbele kwa ndani.

Naomba mweye kujua hii tumsaidie ,isijekuwa ni dalili ya tezi dume.
Natanguliza shukurani kwa wote.
 
atakuwa na gono jaribu kufuatilia vipimo
 
Huwa inatokea mara nyingi dawa kutotibu tatizo UTI ikiwemo, rudi tena apimwe na Dr atajua mbadala wa dawa itakayomsaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…