F famba Member Joined Mar 21, 2013 Posts 71 Reaction score 4 Sep 1, 2013 #1 Wana jf nasumbuliwa na jino, linauma hasa nyakati za usiku, nimeshang'oa moja. Je naweza nikatumia dawa na jino likapona bila kwenda kuling'oa?
Wana jf nasumbuliwa na jino, linauma hasa nyakati za usiku, nimeshang'oa moja. Je naweza nikatumia dawa na jino likapona bila kwenda kuling'oa?