Msaada, maumivu ya kifua

Msaada, maumivu ya kifua

mduirwa

Member
Joined
Nov 14, 2014
Posts
35
Reaction score
11
kifua kuuma wakati huo kukohoa sikohoi na maumivu huwa nayasikia pindi nikiwa nimekaa nimetulia lakini wakati na kazi au busy huwa siyasikia na titi la kuxhoto huwa panauma na mara pengine mkono wa kuxhoto na ukikandamiza kifua kwa nguvu kinauma. tafadhar anayejua dawa ama aina ya ugonjwa, uxhaur naomb anipe
 
1. Pima BP
2. Check ECG
3. Pima damu kama kuna electrolytes zinazidi mwilini au kupungua
4. Inawezekana ume stretch out skeletal muscles za kifuani. Zinauma sana na maumivu hudumu hata kwa siku saba. Hili linatibika lenyewe lakini maumivu yaweza kupozwa na paracetamol.
 
  • Thanks
Reactions: J C
Kwa sasa ugonjwa huu naona umeingia kwa kasi . vizuri hudhuria hospital kwa uchunguzi zaidi.
 
kifua kuuma wakati huo kukohoa sikohoi na maumivu huwa nayasikia pindi nikiwa nimekaa nimetulia lakini wakati na kazi au busy huwa siyasikia na titi la kuxhoto huwa panauma na mara pengine mkono wa kuxhoto na ukikandamiza kifua kwa nguvu kinauma. tafadhar anayejua dawa ama aina ya ugonjwa, uxhaur naomb anipe
Unamatatizo ya kichomi sio kifua
 
Back
Top Bottom