Unamatatizo ya kichomi sio kifuakifua kuuma wakati huo kukohoa sikohoi na maumivu huwa nayasikia pindi nikiwa nimekaa nimetulia lakini wakati na kazi au busy huwa siyasikia na titi la kuxhoto huwa panauma na mara pengine mkono wa kuxhoto na ukikandamiza kifua kwa nguvu kinauma. tafadhar anayejua dawa ama aina ya ugonjwa, uxhaur naomb anipe
Pole sana ndugu ila tumia S badala ya X hasa ukiwa humu JF.na kipindi cha barid hasa usiku nd kinauma xana