Msaada: Maumivu ya korodani

Msaada: Maumivu ya korodani

mtera1

Senior Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
154
Reaction score
43
Wana Jamii Forums.

Mnisaidie nini kisababishi cha maumivu ya korodani rafiki yangu anasumbuliwa ni wiki ya pili sasa.
Kapima damu na mkojo yukosafi.

Tunaomba msaada wenu.
 
Wana jf mnisaidie nini kisababishi cha
Maumivu ya korodani rafiki yangu anasumbuliwa ni wiki ya pili sasa.
Kipima damu na mkojo yukosafi so
Tunaomba msada wenu

:hand:
Hivyo alipima kwa kuelekezwa au aliamua kujipima tu halafu unakuja kutuuliza hapa kwani sisi ni madaktari.
 
Ungeipeleka kule jf doctor mzizimkavu kwa msaada
 
Last edited by a moderator:
:hand:
Hivyo alipima kwa kuelekezwa au aliamua kujipima tu halafu unakuja kutuuliza hapa kwani sisi ni madaktari.

Kuna madaktari, MDs, humu JF, kuna wasomi lukuki wa hali ya juu, sijui wewe!!!!!!!!!!!!!
 
Mbona ni kama ww mwenyew na co rafiki ako????!!
 
Mzee hii kitu huwa inasababishwa na mambo mengi - na kuna factors nyingi za kuangalia hata kabla ya kupima. Pia vipimo vipo vya damu au physical examination ya hizo ndude!

Kama wewe au rafiki yako mnnaogopa - na hasa kama hakuna sababu obvious inayoeleza sababu ya maumivu basi mwone doctor!
* Sio mara zote maumivu yanaashiria uwepo wa kitu kibaya.
 
Wana Jamii Forums.

Mnisaidie nini kisababishi cha maumivu ya korodani rafiki yangu anasumbuliwa ni wiki ya pili sasa.
Kapima damu na mkojo yukosafi.

Tunaomba msaada wenu.

Kuna madaktari, MDs, humu JF, kuna wasomi lukuki wa hali ya juu, sijui wewe!!!!!!!!!!!!!

Mzee hii kitu huwa inasababishwa na mambo mengi - na kuna factors nyingi za kuangalia hata kabla ya kupima. Pia vipimo vipo vya damu au physical examination ya hizo ndude!

Kama wewe au rafiki yako mnnaogopa - na hasa kama hakuna sababu obvious inayoeleza sababu ya maumivu basi mwone doctor!
* Sio mara zote maumivu yanaashiria uwepo wa kitu kibaya.

Ndio maana nilimuuliza kama kaenda kupima hiyo damu na mkojo, alikwendaje kupima bila ya kumuona daktari? Halafu anakuja kuleta sijui ndio mada au hoja humu jf. Si kila jambo unauliza tuu bila ya kufuata utaratibu.

Kama unaumwa unamuona dakitari, unachukua vipimo wanavisoma halafu unapata ushauri. Sasa mtu mpaka una umri wa kuweza kuandika kwa kutumia tekinolojia halafu haujui utaratibu wa kujitibu?

Wakati mwingine huwa najiuliza hivi nyinyi mnaojiita wasomi mnadhani kila kitu utapata jibu kwa kuandika andika tu. Acha uvivu nenda hospitali!
 
Ndio maana nilimuuliza kama kaenda kupima hiyo damu na mkojo, alikwendaje kupima bila ya kumuona daktari? Halafu anakuja kuleta sijui ndio mada au hoja humu jf. Si kila jambo unauliza tuu bila ya kufuata utaratibu.

Kama unaumwa unamuona dakitari, unachukua vipimo wanavisoma halafu unapata ushauri. Sasa mtu mpaka una umri wa kuweza kuandika kwa kutumia tekinolojia halafu haujui utaratibu wa kujitibu?

Wakati mwingine huwa najiuliza hivi nyinyi mnaojiita wasomi mnadhani kila kitu utapata jibu kwa kuandika andika tu. Acha uvivu nenda hospitali!

Kwenye red, Na kweli sisi ni wasomi ! Huo hujasema uongo, wasomi wapo kweli kweli JF!
 
Back
Top Bottom